New
Wakuu, hatimae Pius Masului yule mshindi wa kura za maoni CHADEMA jimbo la Bunda mjini amehamia CCM akidai kutoridhishwa Na maamuzi ya CC ya CHADEMA Taifa kukata jina lake na Kumpa Mshindi wa Tatu Ester BulayaChanzo: Radio Mazingira FM
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI