Mapato na Matumizi Ya Serikali Ya Mwezi Machi.. - MULO ENTERTAINER

Latest

31 Mar 2016

Mapato na Matumizi Ya Serikali Ya Mwezi Machi..

Jumla ya Tsh shilingi 1,404,268,000,000​zimekusanywa:-

A: MAPATO 
(i) Mapato ya kodi (TRA) shilingi 1,283,274,000,000
(ii)Mapato yasiyo ya kodi shilingi 77,504,000,000
(iii)Mapato yatokanayo na vyanzo vya Halmashauri shilingi 43,490,000,000
  
(iv) Tunatarajia pia kupata mikopo na misaada ya mifuko ya Basket na miradi ya maendeleo kutoka kwa washirika wa maendeleo shilingi 71,200,000,000
B: MATUMIZI
1. Mishahara
(a) Watumishi wa Serikali Kuu na Serikali za Mitaa shilingi 484,057,177,680 ikijumuisha malimbikizo ya shilingi 9,479,389,384 na hasa kwa walimu katika Halmashauri 154
(b) Watumishi wa Taasisi na Wakala za Serikali shilingi 97,985,822,320 ikijumuisha malimbikizo ya shilingi 518,822,320 kwa Taasisi na Wakala 24 na hasa sehemu kubwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Jumla ya mishahara ni shilingi 582,043,000,000

2.Posho ya chakula kwa ajili ya vyombo vya ulinzi na usalama shilingi 43,556,500,000.
3.Ruzuku ya Vyama vya Siasa shilingi 1,433,583,000

4.Posho ya Madaktari wanafunzi 1608 shilingi 1,721,000,000.
5.Wizara ya Afya Ununuzi wa madawa na vifaa tiba shilingi 2,597,961,000

6.Mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu kwa semista ya tatu shilingi 57,040,000,000

7.Kutekeleza mpango wa Elimu bure shilingi 18,777,000,000
8.Mapato ya ndani kwa Halmashauri kwa ajili ya miradi na uendeshaji wa ofisi shilingi 43,490,000,000

9.Madeni ya watumishi wasio walimu katika Halmashauri shilingi 3,618,900,612

10.Miradi ya umeme shilingi 73,252,000,000
- Wakala wa Umeme Vijijini shilingi 24,020,000,000
- Mradi wa Umeme Kinyerezi I shilingi 43,800,000,000
-Mradi wa kufua umeme makambako – Songea shilingi 5,482,000,000
11.Malimbikizo ya madeni ya Makandarasi wa barabara shilingi 166,905,919,730

12.Miradi ya Maji shilingi 10,951,000,000
13.Mfuko wa Reli shilingi 2,651,000,000
14.Fidia kwa wananchi kupisha mradi wa Kurasini Trade and Logistic Hub shilingi 3,048,904,930

15.Mradi wa Ununuzi wa dawa na vifaa Tiba (ORIO) shilingi 2,106,657,644
16.Mfuko wa kuchochea maendeleo ya jimbo shilingi 5,124,997,500