Polisi nchini Uganda wazua gumzo baada ya kuwapekua watu hasa wanawake.. Soma kwa undani hapa... - MULO ENTERTAINER

Latest

31 Mar 2016

Polisi nchini Uganda wazua gumzo baada ya kuwapekua watu hasa wanawake.. Soma kwa undani hapa...

Hii ni katika  hali ya kuimarisha usalama wakati wananchi hao walipokuwa wanaingia uwanja wa taifa kuangalia mpira nchini Uganda ambapo askari hao kama wanavyoonekana walikuwa wanakagua mabomu..