Benki Zaanza Kuwakamua Watanzania kwa Kuongeza kodi (VAT) ya 18% - MULO ENTERTAINER

Latest

1 Jul 2016

Benki Zaanza Kuwakamua Watanzania kwa Kuongeza kodi (VAT) ya 18%

Ukifanya muamala wowote wa kutoa pesa benki kuna makato mfano kwa CRDB ni 2,200. Maana ya hii kodi ni kuwa sasa utakatwa TZS 2,596. Vile vile ukifanya malipo kwa njia ya TISS makato yalikuwa ni TZS 10,000; kwa sasa utakatwa TZS 11,800.

TULIPE KODI KWA MAENDELEO YA NCHI YETU