Lowassa Atoa Ufafanuzi Kuhusu Mazungumzo Yake na Rais Magufuli "Aliitwa Ikulu Akinitaka Kurudi CCM Ila Nilikataa" - MULO ENTERTAINER

Latest

16 Jan 2018

Lowassa Atoa Ufafanuzi Kuhusu Mazungumzo Yake na Rais Magufuli "Aliitwa Ikulu Akinitaka Kurudi CCM Ila Nilikataa"

Lowassa Atoa Ufafanuzi Kuhusu Mazungumzo Yake na Rais Magufuli "Aliitwa Ikulu Akinitaka Kurudi CCM Ila Nilikataa"

Waziri Mkuu wa zamani na mjumbe wa kamati kuu ya Chama caha Demokrasiana na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Edward Lowassa amesema kuwa alikwenda Ikulu baada ya kuitwa na Rais John Pombe Magufuli akimtaka arudi CCM lakini alimjibu kuhama kwake hakubahatisha.