ANGALIA HAPA PICHA KUTOKA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOUA 19 LEO JIJINI MBEYA. - MULO ENTERTAINER

Latest

17 Apr 2015

ANGALIA HAPA PICHA KUTOKA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOUA 19 LEO JIJINI MBEYA.

Ajali za Tanzania kwenye vichwa vya habari zimezidi kuongezeka, leo April 17 2015 ajali nyingine imetokea Mbeya baada ya gari la abiria kupoteza mwelekeo na kuingia mtoni Mbeya. Taarifa zilizothibitishwa na kamanda wa Polisi Mbeya zinasema waliofariki mpaka sasa ni 19,