Jamani Madawa ya Kulevya si Mazuri..Tazama Jinsi Mwanamuziki CHID BENZ Alivyo Sasa.... - MULO ENTERTAINER

Latest

19 Mar 2016

Jamani Madawa ya Kulevya si Mazuri..Tazama Jinsi Mwanamuziki CHID BENZ Alivyo Sasa....

 Muonekano wa Mwanamuziki Chidy Benzi Akiwa katika kituo cha Runinga cha Clouds TV....Video hii imesambaa mitandaoni ikionyesha jinsi mwili wa Mwanamuziki huyo ulivyodhoofika kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya kitu ambacho yeye mwenyewe alikuwa akipinga kuwa hatumiii...