Hii imetokea barabara ya Coca Cola karibu na Nabaki Afrika. Inasemekana director huyo anajulikana kwa jina la Gabriel Kamukara amepoteza maisha kwenye eneo la tukio.
Inasemekana alikuwa na kiasi cha pesa na hao majambazi wamefanikiwa kuzichukua.
Watu 2 wamepigwa risasi na kuporwa fedha wakiwa katika gari lao eneo la Nabaki Afrika DSM.
Tazama Video:
Tazama Video: