Breaking NEWS: Gerald Hando, Paul James Waondoka Clouds FM - MULO ENTERTAINER

Latest

31 Mar 2016

Breaking NEWS: Gerald Hando, Paul James Waondoka Clouds FM

Watangazaji Gerald Hando na Paul James, wanadaiwa kuachana na Clouds FM, kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi.

Wawili hao wamekuwa watangazaji wa kipindi cha Power Breakfast cha kituo hicho kwa miaka mingi.

Gazeti la Mwananchi limedai kuwa watangazaji hao wamemaliza mkataba na kituo hicho na hakijapenda kuwaongezea.